Verse 1:
Nakuhitaji Baby
Sina Raha Ukiwa Mbali Na Mimi Crayz (Yeah)
Nakuhitaji Milele
Njoo Tujipange wote mi na wee
Unipe malavidavi yazidi kilele (Yeah)
Showty u drive me crazy Yeah Yeah
Showty u drive crazy eeh
Pre Chorus:
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Verse 2 (Ngwea)
(yow Cowbama Na East Zoo Yooh, holla)
Ni Zaidi ya Zaybee jinsi alivyo gado
Huyu baby Figure yake role model aah
Anajiheshimu anaheshimika kila nagle
Hakuna NInachofeel kwake zaidi ya mapendo
Sina mkataba nae ila nina malengo
Anajua Ku handle (aaah) Hana Skendo
Body Yake inakubali kila styles ya Pamba
Classicmillion dollar smile
Anachanganya ubongo wangu kama bacteria
Siku Nisipo muona I feel sick like malaria
Sio mi wa kwanza, Yalianza toka enzi,
Wengi wamechanganyikiwa na penzi
She is so sexy, yaani so amazing
She Drve me cryz Baby Baby (Holla)
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Verse 3(Steve RnB)
Moyo unachojali girl, Nikumiliki wee
Najihisi Mwenya bahati, Tuje Tuishi wote milele
Hebu punguza hayo mapozi,
Twende fasta fasta mpaka kwa wazazi
Girl U Drve Me Cryz..oooh ooh u drve me cryz
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Bridge
Ooh oooh, baby ooh ooh
Niwe Nawee
Ooh ooh baby ooh ooh
(Nikubalie)x4
Nakuhitaji Baby
Sina Raha Ukiwa Mbali Na Mimi Crayz (Yeah)
Nakuhitaji Milele
Njoo Tujipange wote mi na wee
Unipe malavidavi yazidi kilele (Yeah)
Showty u drive me crazy Yeah Yeah
Showty u drive crazy eeh
Pre Chorus:
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Verse 2 (Ngwea)
(yow Cowbama Na East Zoo Yooh, holla)
Ni Zaidi ya Zaybee jinsi alivyo gado
Huyu baby Figure yake role model aah
Anajiheshimu anaheshimika kila nagle
Hakuna NInachofeel kwake zaidi ya mapendo
Sina mkataba nae ila nina malengo
Anajua Ku handle (aaah) Hana Skendo
Body Yake inakubali kila styles ya Pamba
Classicmillion dollar smile
Anachanganya ubongo wangu kama bacteria
Siku Nisipo muona I feel sick like malaria
Sio mi wa kwanza, Yalianza toka enzi,
Wengi wamechanganyikiwa na penzi
She is so sexy, yaani so amazing
She Drve me cryz Baby Baby (Holla)
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Verse 3(Steve RnB)
Moyo unachojali girl, Nikumiliki wee
Najihisi Mwenya bahati, Tuje Tuishi wote milele
Hebu punguza hayo mapozi,
Twende fasta fasta mpaka kwa wazazi
Girl U Drve Me Cryz..oooh ooh u drve me cryz
Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee
Bridge
Ooh oooh, baby ooh ooh
Niwe Nawee
Ooh ooh baby ooh ooh
(Nikubalie)x4



