.

.

Friday, December 13, 2013

Steve Rn'B ft Ngwea - Sitomwacha


Verse 1:
Nakuhitaji Baby
Sina Raha Ukiwa Mbali Na Mimi Crayz (Yeah)
Nakuhitaji Milele
Njoo Tujipange wote mi na wee
Unipe malavidavi yazidi kilele (Yeah)
Showty u drive me crazy Yeah Yeah
Showty u drive crazy eeh

Pre Chorus:
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia 
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe
Ukinibania nitaumia,
Utanifanya daily nalia nalia Baby
Sitovumilia vumilia 
Kwani moyo umekuchagua chagua wewe

Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee

Verse 2 (Ngwea)
(yow Cowbama Na East Zoo Yooh, holla)
Ni Zaidi ya Zaybee jinsi alivyo gado
Huyu baby Figure yake role model aah
Anajiheshimu anaheshimika kila nagle
Hakuna NInachofeel kwake zaidi ya mapendo
Sina mkataba nae ila nina malengo
Anajua Ku handle (aaah) Hana Skendo
Body Yake inakubali kila styles ya Pamba
Classicmillion dollar smile
Anachanganya ubongo wangu kama bacteria
Siku Nisipo muona I feel sick like malaria
Sio mi wa kwanza, Yalianza toka enzi,
Wengi wamechanganyikiwa na penzi
She is so sexy, yaani so amazing
She Drve me cryz Baby Baby (Holla)

Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee

Verse 3(Steve RnB)
Moyo unachojali girl, Nikumiliki wee
Najihisi Mwenya bahati, Tuje Tuishi wote milele
Hebu punguza hayo mapozi,
Twende fasta fasta mpaka kwa wazazi
Girl U Drve Me Cryz..oooh ooh u drve me cryz

Chorus
Sitomwacha Sitomwacha , Huyu Mtoto mzuri nikimpata
Ananipagawisha Pagawisha , Anavyowaka uzuri wake kamata
Showty Nikubaliee, Showty Niwe Naee
Showty Nikubalie , Showty niwenaee

Bridge
Ooh oooh, baby ooh ooh
Niwe Nawee
Ooh ooh baby ooh ooh
(Nikubalie)x4
[Continue Reading]

Fid Q - Propaganda

From when he dropped those infamous 16 bars on a featured track 'Ukweli na Uwazi' on the now classic Wachuja Nafaka album, Bongo HipHop was born again through the sharp lyricism of Fareed Kubanda aka Fid Q!!
________________________________________

Verse1
Machungu unapozimwa,ili ufunikwe na asiyeweza
Mbaya zaidi wanampa Promo halafu kwenye Show unammeza
hautaki kuwa tatizo sababu unaweza tatuka
hauwezi jua wapi nitatua ka Jiwe gizani likitupwa
wanaficha ili nisione wakati tayari nishajua/hamkomi? 
igeni nione jinsi msamba mnaupasua
hivi mnaishi ili mle au mnakula ili muishi?
kumbuka a small leak will sink a ship
mazingira hatarishi, Mabwana afya wanamaPesa Mob
uswazi tunaomba mvua zinyeshe ili tutapishe vyoo
ogopa kuoa haraka kama unaogopa talaka
na ukivote in a hurry ujue unaproduce corruption
maneno yao ni matamu lakini midomo yao inanuka
ukipewa usisahau,ukitoa TOA bila kukumbuka
usihofie kupitwa ilimradi muda haukuachi
amini kesho itafika kama ipo ili uipate
tunachukiana kwasababu tunaogopana
tunaogopana kwa sababu hatujajuana
hatujuani kwasababu tunatengana
dunia ni nzuri.. walimwengu hawana maana

Chorus
Polisi wanasapoti Gangsta Rap ''ili uhalifu uongezeke''
Wabana pua kuimba mapenzi ''je itafanya ukimwi usepe''
Media zinapromoti beef ''wanadai zinakuza mziki''
Wadau wana wasanii wabovu ''nyie wakali mtatoka vipi?''
hizi ni PROPAGANDA.. usiulize ni nani?ni yupi?
saa ngapi?ilikuaje?na nani?ili iweje?
hizi ni PROPAGANDA.. utaibiwa ukicheza blanda
yule last King of Scotland sio IDD AMIN wa Uganda

Verse2
Polisi huniita Mzururaji na wanajua mie ni MC
Kisha hunipa ishara kama wanavuta uradi kwa Tasbih
Baya lisilo nidhuru ni Jema liso na faida
nashukuru kote nasikika napotoa haya mawaidha
kuanzia Kata,Tarafa,Wilaya,Mikoa hadi Ngazi ya Taifa
nikifa siachi Skendo, ninauhakika nitaacha Pengo
kwa hivi vina hata Wakulima hujikuta wanameza Mbegu
pia ni kama Liberation struggle machoni mwa Chegu
ukiwa mkali ka Marco Chali.. raia watafeel tu
wajinga ndo hufa kwa wivu sababu hawako real tu
rafiki sio urafiki usipochanganywa na Kazi
Mlango sio mlango hadi ufungwe au uachwe wazi
haupaswi kumuamini Muongo hata kama akiongea Ukweli
ni Dhambi kutumia Dini kama njia ya kututapeli
wanajiingizia kipato kwa kimvuli cha misaada
hawatufunzi tuwe Viongozi labda Viongozi wakuwafata
utata huja, tunapoanza kuwachunguza
badala ya kuwafata ndipo Siri zinapovuja
tunajenga tabia kisha tabia zinatujenga
ukishindwa kujiendesha ujue mwenyewe tu ulipenda
kama umevutiwa na Asali, jiandae kumkwepa Nyuki
hauwezi kumtisha kwa Mawe Adui aliyeshika Bunduki
ni uchunguzi tu wa Kisayansi ambao haukufanikiwa
kama ule wa Ng'ombe kula Nyasi tu halafu anatoa Maziwa

Chorus
Polisi wanasapoti Gangsta Rap ''ili uhalifu uongezeke''
Wabana pua kuimba mapenzi ''je itafanya ukimwi usepe''
Media zinapromoti beef ''wanadai zinakuza mziki''
Wadau wana wasanii wabovu ''nyie wakali mtatoka vipi?''
hizi ni PROPAGANDA.. usiulize ni nani?ni yupi?
saa ngapi?ilikuaje?na nani?ili iweje?
hizi ni PROPAGANDA.. utaibiwa ukicheza blanda
yule last King of Scotland sio IDD AMIN wa Uganda
[Continue Reading]

ONE DA INCREDIBLE `RAP SCIENCE'

ONE da Incredible is Tanzanian Hip-hop Artist with nice Swahili & English flows.
_______________________________________________________________

RAP SCIENCE (LYRICS)

VERSE 1

Hii ni news kwa ma – rap star/
Kwenye mdundo mi ni bao, nateleza na nina ujuzi wa kunata/

Utunzi bado culture, na – peruz kurasa/
Mwenyeji vituo vyote kama mluzi wa kondakta/
Uhh.. Beat ya Den texas/
Nchi ya verse, tenzi hazihesabiki hata kwa census/
Sense sick, spit ka` na – desease kwa senses/
New era muzik, Old rapper hit the benches/
Nawakilisha illmatix toka enzi/
Ikiwekwa beat kati tunagawa kama chenji/
Peace kwa J ryde, Bano Stylez enzi,
Toka tunafanya freestyle kwa ringtone za dre beats/
Tenzi za roho kutoka kwa rap dayosis/
Niko sick, sitibiki kwa anti-biotics/
Maabara ya mziki na – deal na rap science/
Uno the Chemist, Niko na text the Mad scientist…


VERSE 2
Check…. Hii ni for the people wa kitaa, People wa mitaani/
The people behind bars wanaoishi kwa imani/

Mother kani – teach tuko equal so sidhani…./
…. Ka` nikiku – treat sivyo tutakuwa people wa amani/
Sikupeleki higher nakurusha/
Haina ku – retyre, weka fire kama kaya kwa wavuta/
Namwaga dawa ka` supplier, ama pusher/
Mpaka wanachoka mbaya, shonea waya kwenye bukta/
Mbaya nawakilisha/
Hata nibarikiwe na uhai wa kujidai mpaka Messiah anapofika/
Na sina ubaya, nimeutumia mpaka umekwisha/
So, hata niki – retyre nitaimba kwaya ya kanisa/
We ni Big screen star unaetisha/
Mi ni sixteen bars za sifa, hapa u – star unakwisha/
Muda hausimami, masaa yanapita/
Maisha ni movie ya kila siku, mi ni star kwenye picha…


VERSE 3
Hii sio Hip Hop conscious, ni hoja njema/
Sina nguzo tano, mi natumia moja vyema/

Moja tena, niite nyota njema/
Ka` ulie nae mikosi huna budi kumngoja Mwema/
Bado mbinde nilinde hali/
Mkali jilinde, kama unaringa kibingwa karinge mbali/
Jilinde na zali, habari zifike kwa wahuni wa maskani, niko nanyi kama vizinde vya kali/
Sina drama wa beef kumbuka/
Hizo peleka kwa baby – momma, sio sisi utaumbuka/
Huu ndo mwanga, mweusi hawezi wanga, hapa zina twangwa chungu sio rahisi kumumusa/
Ukihisi nimekugusa, Diss/
Hizi flo kubwa zinawavuka, iwe bukta ama jeans/
Stuka ama sizi/
Sanuka hawa machizi wameshafua, na hawawezi kukauka zama hizi…
[Continue Reading]

Thursday, December 12, 2013

THIS SITE UNDER MAINTENANCE!

Wapendwa marafiki, asante kwa kutembelea tovuti hii, karibuni sana.
Site hii ipo kwenye matengenezo and soon itakuwa hewani.
[Continue Reading]
Powered By Fortune Media Group · Designed By Team Fortune